Kiongozi wa Kamati
ya Majadiliano kwa upande wa Serikali, Waziri wa Katiba na Sheria Profesa
Palamagamba Kabudi akitia saini pamoja na Mkurugenzi wa Tanzanite One Faisal
Juma mara baada ya kufikia makubaliano na Kampuni hiyo ya Uchimbaji wa Madini ambayo
imekubali kulipa fidia kwa Serikali pamoja na mambo mengine ya Kimkataba.
Kiongozi wa Kamati
ya Majadiliano kwa upande wa Serikali, Waziri wa Katiba na Sheria Profesa
Palamagamba Kabudi akitia saini pamoja na Mkurugenzi wa Tanzanite One Faisal
Juma mara baada ya kufikia makubaliano na Kampuni hiyo ya Uchimbaji wa Madini ambayo
imekubali kulipa fidia kwa Serikali pamoja na mambo mengine ya Kimkataba.
No comments:
Post a Comment