Aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka amkabidhi nyaraka ikiwa ni ishara ya makabidhino ya ofisi Katibu Mkuu wa UVCCM Ndugu Raymound S Mwangala leo ofisi ndogo za Umoja wa Vijana Upanga Dar Es Saalam.
Aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka amkabidhi nyaraka ikiwa ni ishara ya makabidhino ya ofisi Katibu Mkuu wa UVCCM Ndugu Raymound S Mwangala leo ofisi ndogo za Umoja wa Vijana Upanga Dar Es Saalam.
Ndugu Shaka Hamdu Shaka ni naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar alikaimu nafasi hiyo baada ya aliekuwa Katibu Mkuu UVCCM Ndugu Sixtus Mapunda kuchukua likizo ya miaka 5 kutumikia wananchi katika jimbo la Mbinga Mkoa wa Ruvuma.* Raymond Mwangwala
No comments:
Post a Comment