Katibu wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na
Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu, iliyopo chini ya Wizara ya Mambo
ya Ndani, Separatus Fella, akizungumza na wakati wa kikao cha kujadili mikakati
ya kupambana na biashara hiyo, ambapo maadhimisho ya mwaka huu ya kupinga
biashara hiyo yanatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi wa sita.Kikao hicho
kimefanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa
Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji wa
Binadamu, iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani, Adatus Magere, akizungumza
na wakati wa kikao cha kujadili mikakati ya kupambana na biashara hiyo.Kikao
hicho kimefanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam
Mshiriki wa Kikao cha Kujadili mikakati ya
kupambana na biashara haramu ya binadamu kutoka Shirika la Utangazaji Tanzani(TBC),
Prudence Constantine, akichangia hoja wakati wa kikao hicho kilichofanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la
Polisi,jijini Dar es Salaam
Mshiriki wa Kikao cha Kujadili mikakati ya
kupambana na biashara haramu ya binadamu kutoka Jeshi la Polisi , ACP Rogathe
Mlasani, akichangia hoja wakati wa kikao hicho kilichofanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la
Polisi,jijini Dar es Salaam
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa
linashughulikia Masuala ya Ongezeko la Watu (UNFPA), Jacqueline Mahon,
akizungumza wakati wa Kikao cha Kujadili mikakati ya kupambana na biashara
haramu ya binadamu wakati wa kikao kilichofanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.Kushoto
ni Msaidizi wa mwakilishi huyo, Anna Holmstrom
Mshiriki wa Kikao cha
Kujadili mikakati ya kupambana na biashara haramu ya binadamu kutoka Vyombo vya
Habari vya Clouds,Simon Simalenga , akichangia hoja wakati wa kikao hicho
kilichofanyika Ukumbi wa Makao Makuu
ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
No comments:
Post a Comment