Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa ZIFF Zanzibar Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi Tunzo aliyokabidhiwa na Wawakilishi wa Taasisi ya Nelson Mandela Children Festival Award, kwa Ajili ya Ziff, akimkabidhi Mjumbe wa Bodi ya Wadhamani wa ZIFF. Bi. Fatma Aloo, wakati wa hafla ya Ufungaji wa Tamasha la 21 la Nchi za Jahazi Zanzibar.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa ZIFF Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi wakiwa na Tunzo yao waliokabidhiwa na Taasisi ya Nelson Mandela Children Festival Award, baada ya kukabidhi tunzo hiyo na Wawakilishi wa Taasisi hiyo.
MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
akimkabidhi Tunzo ya Filamu Bora katika Tamasha la ZIFF,Filamu ya Fatuma kutoka
Tanzania, Msanii wa Filamu Beatrice Taisamo,wakati wa hafla ya ufungaji wa
Tamasha la 21 la Nchi za Jahazi Zanzibar ZIFF, katika viwanja vya ngome konge
Zanzibar.
MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
akimkabidhi Tunzo ya Filamu Bora katika Tamasha la ZIFF,Filamu ya Fatuma kutoka
Tanzania, Msanii wa Filamu Beatrice Taisamo,wakati wa hafla ya ufungaji wa
Tamasha la 21 la Nchi za Jahazi Zanzibar ZIFF, katika viwanja vya ngome konge
Zanzibar.
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ZIFF, Waziri
wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo,
akizungumza wakati wa ufungaji wa Tamasha la Nchi za Jahazi Zanzibar,
ZIFF,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa ngome kongwe Zanzibar
WANANCHI na Watalii wakifuatilia maonesho ya ngoma ya Msewe wakati wa
hafla ya Ufungaji wa Tamasha la 21 la Nchi za Jahazi Zanzibar ZIFF
linalofanyika katika viwanja vya ngome kongwe Zanzibar
MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud,kulia
na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa ZIFF na Waziri wa Habari Utalii na
Mambo ya Kale Zanzibar. Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, wakifuatilia hafla hiyo
wakati kikundi cha Sanaa cha kikitowa burudani ya ngoma ua msewe
WASANII wa kikundi cha Sanaa wakicheza ngoma ya msewe wakati wa hafla ya
ufungaji wa Tamasha la 21 la Nchi za Jahazi Zanzibar ZIFF, linalofanyika katika
viwanja vya ngome kongwe forodhani Zanzibar.
WASANII wa kikundi cha Sanaa wakicheza ngoma ya msewe wakati wa hafla ya
ufungaji wa Tamasha la 21 la Nchi za Jahazi Zanzibar ZIFF, linalofanyika katika
viwanja vya ngome kongwe forodhani Zanzibar.
No comments:
Post a Comment