Habari za Punde

Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt. Sira Ubwa Atembelea Barabara za Kisiwani Pemba Akiwa Katika Ziara Yake leo.

Mkurugenzi Shirika la Bandari Tawi la Pemba, Hamad Salum, akimpatia maelezo Waziri wa Ujenzi , Mwasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Dk, Sira Ubwa Mamboya juu ya Gati ya sasa  ya Wete na ile ambayo inatarajiwa kujengwa na Kampuni ya Bakhresa.
Waziri wa Wizara ya Ujenzi , Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Dk,Sira Ubwa Mamboya, akiangalia sehemu inayotarajiwa kujengwa gati ya Abiria huko katika Eneo la Shumba ya Mjini Micheweni Pemba.
Mhandisi wa Wizara ya Ujenzi , Mawasiliano na Usafirishaji Pemba,Khamis Massoud Khamis, akimpatia maelezo Waziri wa Wizara hiyo Dk,Sira Ubwa Mamboya , juu ya bara bara ya Mkia wa Ng'ombe Wilaya ya Micheweni Pemba.

Meneja Mradi wa Ujenzi wa bara bara ya Ole -Kengeja , Amini Khalid Abdalla , akimpatia maelezo Waziri wa Ujenzi , Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Dk, Sira Ubwa Mamboya , wakati alipokuwa na ziara ya kutembelea bara bara hiyo wakati wa ziara yake Kisiwani humo. Picha na Zuhura Msabaha - Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.