Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, Azungumza na Washirika wa Maendeleo ya Sekta ya Kilimo Tanzania.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Country Programme Officer East and Southern Africa Bi.Mwatima Juma Abdalla, wakati alipowasili katika ukumbi wa mkutano kwa ajili ya mazungumzo na Ujumbe huo wa Washiriki wa Maendeleo wa Sekta ya Kilimo Tanzania, ukiongozwa na Mwakilishi wa FAO Nchini Tanzania pia ni Mwenyekiti wa Washiriki wa Maendeleo ya Setka ya Kilimo Tanzania Mr. Fred Kafeero
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Country Manager Tanzania (AGRA) Mr.Vianey Rweyendela , alipowasili katika ukumbi wa mkutano na Ikulu Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Senior Programme Officer wa (WFP).Mr.Juvenal Kisanga, alipowasili katika ukumbi wa mkutano na Ikulu Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Rashid Ali Juma, akizungumza na kuutambulisha Ujumbe wa Wasjiriki wa Maendeleo ya Sekta ya Kilimo Tanzania , ulipofika Ikulu Zanzibar kuonana na Mhe.Rais wa Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwakilishi wa FAO Tanzania pia ni Mwenyekiti wa Washiriki wa Maendeleo wa Sekta ya Kilimo Tanzania Mr. Fred Kafeero, wakati wa mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwakilishi wa FAO Nchini Tanzania pia ni Mwenyekiti wa Washirika wa Maendeleo Sekta ya Kilimo Tanzania Mr. Fred Kafeero, wakati wa mazungumzo yao yaliofanyika leo Ikulu Zanzibar.akiongozana na Ujumbe wa Washiriki wa Maendeleo Sekta ya Kilimo Nchini Tanzania. 





 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Senior Country Programme Officer East and Southern Africa Bi.Mwatima Juma,baada ya kumaliza mazungumzo na Ujumbe wa Washiriki wa Maendeleo ya Sekta ya Kilimo Tanzania.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Bi. Maryam Juma Mabodi, baada ya kumaliza mazungumzo na Ujumbe wa Washiriki wa Maendeleo ya Sekta ya Kilimo Tanzania.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.