Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaaf wa Tanzania Dkt. Salim Ahmed Salim, alipofika kumjulia hali yake Nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam.jana Januari 6, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisindikizwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt Salim Ahmed Salim wakati alipomjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu huyo, jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakisindikizwa na Waziri Mkuu, Mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim wakati alipomjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu huyo, jijini Dar es salaam Januari 6, 2018. Watatu kushoto ni Mama Amen Salim
Picha Ofisi ya Waziri Mkuu.
No comments:
Post a Comment