Habari za Punde

Mama Mjamzito kujijeruhi Kirando - Rukwa

Mganga Mkuunwa Mkoawa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu akimjulia hali mama mjamzito anayesadikiwa kujijeruhi tumboni na kutoa mtoto Bi Joyce Mweupe akiwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa mara baada ya kupokewa na kupatiwa matibabu.
Bi Joyce Mweupe akiwa na Muuguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Veronica Wambua pamoja na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. John Lawi (kushoto)
 Bi Joyce Mweupe akisaidiwa kunyanyuka na Mganaga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface kasululu akisaidiana na muuguzi wa hospitali hiyo ya Rufaa Veronica Wambura. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.