MKADIRIAJI
majengo kutoka kampuni ‘ZICON’ Juliana Ruhundwa, akiwaeleza waandishi wa habari
namna ujenzi wa chuo cha amali Daya wilaya ya Wete unavyoendelea, wakati
walipotembelea hapo pamoja na ujumbe wa MYDO
WANAFUNZI wa chuo cha Amali Vitongoji
Chakechake Pemba, sekta ya ukataji na uungaji wa vyuma ‘welding’ wakiwa kazini
kutengeneza majukwaa, kama sehemu ya mafunzo yao yanatolewa chuoni hapo.
(Picha na Haji Nassor)
No comments:
Post a Comment