RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mkuu wa
ZATUC Ndg. Khamis Mwinyi, alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Sheikh
Idrisa Abdulwakil Kikwajuni kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Nne wa Shirikisho la
Vyama Vya Wafanyakazi Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, na Viongozi wa Meza Kuu wakiimba wimbo wa Solidariti Foreva
wakati wa ufunguzi wa Mkutanio Mkuu wa Nne wa Shirikisho la Vyama Vya
Wafanyakazi Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil
Kikwajuni Zanzibar
BAADHI ya Wajumbe na Makatibu Wakuu wakishikana mikono wakati wa kuimba
wimbo wa Solidariti Foreva katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Nne wa
Shirikisho la Vyama Vya Wafanyakazi Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa
Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar
No comments:
Post a Comment