Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Karume Waongoza Wananchi Katika Maziko ya Marehemu Salmin Senga Jana.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Kushoto akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dr. Aman Abeid Karume kwenye mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bandari Zanzibar Marehemu Salmin Senga Salmin kwenye Msikiti wa Mombasa Kwa Sheikh Othman Maalim.
Waumini wa Dini ya Kiislamu wakimsalia Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bandari Zanzibar Marehemu Salmin Senga Salmin kwenye Msikiti wa Ijumaa Mtaa wa Mombasa.
Waumini wa Dini ya Kiislamu wakimuombea Dua ya safari njema ya milele Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bandari Zanzibar Marehemu Salmin Senga Salmin.
Picha na – OMPR – ZNZ.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.