Wananchi wa Mtaa wa Kwahani Wilaya ya Mjini Unguja wakiendelea na zoezi la kuvunja nyumba zao kupisha Ujenzi wa Mji wa Kisasa wa Maendeleo unaojengwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF. Wananchi wa Kwahani tayari wameshalipwa kwa ajili ya kuhamia sehemu nyengine kupisha ujenzi huo.
STANDARD CHARTERED TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA
MCHANGO NA ELIMU YA FEDHA KATIKA HOSPITALI YA CCBRT
-
Dar es Salaam, Tanzania – 13 Machi 2026 – Katika kuadhimisha Siku ya
Wanawake Duniani, Standard Chartered Tanzania imetembelea Hospitali ya
CCBRT na kutoa ...
11 minutes ago
0 Comments