Wananchi wa Mtaa wa Kwahani Wilaya ya Mjini Unguja wakiendelea na zoezi la kuvunja nyumba zao kupisha Ujenzi wa Mji wa Kisasa wa Maendeleo unaojengwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF. Wananchi wa Kwahani tayari wameshalipwa kwa ajili ya kuhamia sehemu nyengine kupisha ujenzi huo.
KANALI MALLASA AWAASA WAHITIMU JKT DHIDI YA UHALIFU
-
MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akikagua Gwaride la Heshima
kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea
‘Opereshe...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment