Wananchi wa Mtaa wa Kwahani Wilaya ya Mjini Unguja wakiendelea na zoezi la kuvunja nyumba zao kupisha Ujenzi wa Mji wa Kisasa wa Maendeleo unaojengwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF. Wananchi wa Kwahani tayari wameshalipwa kwa ajili ya kuhamia sehemu nyengine kupisha ujenzi huo.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
9 hours ago
0 Comments