Wananchi wa Mtaa wa Kwahani Wilaya ya Mjini Unguja wakiendelea na zoezi la kuvunja nyumba zao kupisha Ujenzi wa Mji wa Kisasa wa Maendeleo unaojengwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF. Wananchi wa Kwahani tayari wameshalipwa kwa ajili ya kuhamia sehemu nyengine kupisha ujenzi huo.
Chama cha ADC Chatowa Mafunzo kwa Mawakala Wao wa Usimamizi Uchaguzi Mkuu
2025
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe. Hamad Rashid
akizungumza na Mawakala wa Chama hicho wakati wa ufunguzi wa mafunzo
yaliyofan...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment