Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mbele ya mgeni wake
Rais wa Jamhuri ya AfrikaKusini Cyril Ramaphosa katika mkutano baina ya Wafanyabiashara wa
Tanzania na Ujumbe wa Wafanyabiashara toka Afrika kusini uliofanyika katika kituo cha
Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe.Cyril Ramaphosa akihotubia mbele ya mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano baina ya Wafanyabiashara wa
Tanzania na Ujumbe wa Wafanyabiashara toka Afrika Kusini uliofanyika katika kituo cha
Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake
Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe.Cyril Ramaphosa na Mawaziri wa Serikali ya Tanzania
na Afrika Kusini mara baada ya kumalizika kwa mkutano baina ya Wafanyabiashara wa Tanzania
na Ujumbe wa Wafanyabiashara toka Afrika Kusini uliofanyika katika kituo cha Mikutano
cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake
Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini.Mhe.Cyril Ramaphosa wakisalimiana mwenyekiti wa Kigoda cha
Mwalimu Nyerere Mzee Joseph Butiku mara baada ya kumalizika kwa mkutano baina ya Wafanyabiashara wa
Tanzania na Ujumbe wa Wafanyabiashara kutoka Nchini Afrika Kusini uliofanyika katika kituo cha
Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment