Meneja wa wateja Maalumu wa Kampuni ya Zantel, Ndg.Deogratias Shio (kushoto) akimkabidhi simu janja, mmoja wa washindi 6 wa MSAKO TIME wiki hii, Abbas Yahya, mkazi wa Dar es Salaam, Washindi wa MSAKO TIME wanapatikana baada ya kujibu maswali redioni au kuweka picha kwenye kurasa za Facebook na Instagram Kampeni ya MSAKO TIME inawawezesha wateja kutumia intaneti kwa saa moja kila siku.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
No comments:
Post a Comment