Msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Alhajj Ali Mohamed Shein ukiwasili katika Viwanja Vya Langoni Wilaya ya Magharibi "A" Unguja kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Wilaya ya Magharibi "A" Unguja leo na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Karume na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
KOKA KULETA MAGEUZI MAKUBWA YA ELIMU NA AFYA KWA WANACHI KATA YA KIBAHA
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Mbunge mteule wa Jimbo la Kibaha mjini kupitia tiketi ya Chama cha
mapinduzi (CCM) Silvestry Koka ameahidi kuboresha sekta ya a...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment