Msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Alhajj Ali Mohamed Shein ukiwasili katika Viwanja Vya Langoni Wilaya ya Magharibi "A" Unguja kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Wilaya ya Magharibi "A" Unguja leo na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Karume na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
PURA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU MRADI WA UCHIMBAJI VISIMA VYA GESI
MTWARA
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema kuwa utoaji wa
elimu kwa wananchi kuhusu miradi inayotarajiwa kutekelezwa ni miongoni mwa
masua...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment