Msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Alhajj Ali Mohamed Shein ukiwasili katika Viwanja Vya Langoni Wilaya ya Magharibi "A" Unguja kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Wilaya ya Magharibi "A" Unguja leo na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Karume na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
BASHUNGWA ACHUKUA FOMU KUTETEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE.
-
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent L.
Bashungwa amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea nafasi ya Ubunge
katika Jimbo la K...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment