Habari za Punde

TCRA Yatowa Elimu ya Matumizi ya Mtandao Kisiwani Pemba.

Mkuu wa Ofisi (TCRA) Zanzibar Esuvatie-Asisa Masinga akimkaribisha mwasilisha mada  Afisa TEHAMA Mwandamizi Mkuu,Kitengo cha Kudhibiti Ubora wa Huduma Abibu Rashid Ntahigiye katika Ukumbi wa Polisi Madungu ghafula hiyo imefanyika Kisiwani Pemba.
Afisa TEHAMA Mwandamizi Mkuu,Kitengo cha Kudhibiti Ubora wa Huduma akitoa mafunzo kwa washiriki waliyofika katika Mafunzo huko Ukumbi wa Polisi Mdungu Kisiwani Pemba.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.