Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt.John Pombe Magufuli akihutubia katika ufunguzi wa Maonesho ya Wiki ya
Viwanda ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC), katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano
cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC)
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt.John Pombe Magufuli ( wa kwanza kulia waliokaa) akifuatilia maelezo ya Waziri wa Viwanda na
Biashara wa Innocent
Bashungwa, katika ufunguzi wa Wiki ya Viwanda
kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa
Afrika(SADC) leo, wengine ni Katibu Mtendaji SADC, Dkt.Stagomena Tax, Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof.Paramagamba Kabudi na
Mwenyekiti TPSF, Salumu Shamte.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt.John Pombe
Magufuli, akiandika anayoyasikia katika hotuba za utangulizi kabla ya kufungua Maonesho ya Wiki ya Viwanda ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi
za Kusini mwa Afrika(SADC), leo , kutoka kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara
wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Amina Ally na Waziri wa Viwanda na
Biashara wa Tanzania Bara, Innocent Bashungwa, kulia mwisho kwa Rais ni
Mwenyekiti wa Taasisi binafsi (TPSF), Salum Shamte, kulia kwa Rais ni Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof.Paramagamba Kabudi.
Washiriki wa Maonesho
ya Viwanda kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa
Afrika(SADC), wakifuatilia hutoba ya Rais Magufuli( hayupo Pichani), katika ufunguzi
wa Maonesho hayo ya wiki, yanayofanyika nchini Tanzania kambayo pia yako
Karimjee na Gymkana.
Bendi ya Jeshi la
Polisi (Brass Band), wakiwa kwenye
ufunguzi wa Maonesho ya Wiki ya Wiwanda
ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa
Afrika(SADC), yanayofanyika nchini Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.John Pombe Magufuli akiwa
kwenye picha ya pamoja na Mawaziri kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC), Baada ya ufunguzi wa Maonesho
hayo katika Kituo cha Mikutano ya Kimataifa cha Julius Nyerere.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt.John Pombe Magufuli akiwa kwenye picha ya pamoja na
Wakuu wa Taasisi kutoka Nchi wanachama
wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika(SADC), Baada ya ufunguzi
wa maonesho ya wiki ya viwanda ya Nchi
wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC)
yanayofanyika nchini Tanzania.
Katibu Mtendaji
kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa
Afrika(SADC), Stagomena Tax, akitoa hutuba katika ufunguzi wa maonesho ya wiki
ya viwanda ya Nchi wanachama wa Jumuiya
ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika(SADC) yanayofanyika nchini Tanzania.
(Picha na Idara ya
Habari MAELEZO).
No comments:
Post a Comment