Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mtambo wa simu wa zamani wakati alipotembelea makumbusho ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) iliyopo kwenye jengo la EXTELECOMS HOUSE jijini Dar es salaam, Agosti 3, 2019. Kushoto kwake ni Nibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba na Kulia ni Meneja wa Huduma kwa Wateja wa TTCL, Laibu Leonard.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA TADB YATOA MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 200 KWA WAKULIMA NCHINI
-
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Derick
Lugemala akizungumza wakati akitoa salamu kutoka TADB katika mkutano wadau
wa...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment