Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mtambo wa simu wa zamani wakati alipotembelea makumbusho ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) iliyopo kwenye jengo la EXTELECOMS HOUSE jijini Dar es salaam, Agosti 3, 2019. Kushoto kwake ni Nibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba na Kulia ni Meneja wa Huduma kwa Wateja wa TTCL, Laibu Leonard.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Msajili hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na kampuni ya Uswisi
-
Abidjan. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025,
ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren
Toft, Af...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment