Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mtambo wa simu wa zamani wakati alipotembelea makumbusho ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) iliyopo kwenye jengo la EXTELECOMS HOUSE jijini Dar es salaam, Agosti 3, 2019. Kushoto kwake ni Nibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba na Kulia ni Meneja wa Huduma kwa Wateja wa TTCL, Laibu Leonard.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MZEE MWAKILEMBE, MAST WAINUA SHABA, CHUNYA YAONGOZA MAGEUZI
-
Zaidi ya Tani 810 zimezalishwa hadi sasa zenye thamani ya Bilioni 10.5,
Serikali Yapokea Mil 594
Asema kuanzishwa Kiwanda Chunya, Waziri Mavunde na...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment