Mchezaji wa Timu ya Dira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Kwaalinatu wakati wa mchezo wao wa ufunguzi wa Ligi Daraja la Pili Wilaya ya Mjini zinazofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Mshambuliaji wa Timu ya Kwaalinatu akimpita beki wa Timu ya Dira wakati wa mchezo wao ufunguzi wa Ligi Daraja la Pili Wilaya ya Mjini mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar. Timu hizo zimetoka sare ya bao.1-1.
Mshambuliaji wa Timu ya Kwaalinatu akiwa na mpira akijaribu kumpita beki wa Timu ya Dira wakati wa mchezo wao wa Ligi Daraja la Pili Wilaya ya Mjini mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar.
No comments:
Post a Comment