Habari za Punde

Michuano ya Mchezo wa Mpira wa Kikapu Kombe la Wooter Africa Kati ya African Magic na Polisi Uliofanyika Uwanja wa Ndani Mao Zedong Timu ya Polisi Imeshinda Kwa Vikapu 64 -49ilisi

Mchezaji wa Timu ya African Magic akidaka mpira huku mchezaji wa Timu ya Polisi akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa Kombe la Wooter Africa mchezo uliofanyika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Polisi imeshinda kwavikapu 64 -49. 






No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.