Mchezaji wa Timu ya African Magic akidaka mpira huku mchezaji wa Timu ya Polisi akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa Kombe la Wooter Africa mchezo uliofanyika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Polisi imeshinda kwavikapu 64 -49.
JKCI NA SELIANI LUTHERAN ARUSHA KUTOA HUDUMA ZA MAGONJWA YA MOYO -ARUSHA
-
Na.Ashura Mohamed– ARUSHA
Wananchi zaidi 1,000 wa Jiji la Arusha na maeneo ya jirani wamenufaika na
huduma za upimaji na uchunguzi wa afya bure, hususan ma...
8 hours ago
0 Comments