Mchezaji wa Timu ya African Magic akidaka mpira huku mchezaji wa Timu ya Polisi akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa Kombe la Wooter Africa mchezo uliofanyika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Polisi imeshinda kwavikapu 64 -49.
Dk.Hussein AmeIagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Kutoa
Fursa za Kuajiri Walimu Wengi Zaidi wa Fani Zote ili Kuondosha Changamoto
ya Walimu Zanzibar.
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Skuli
ya Ms...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment