Habari za Punde

Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi Afunga Mafunzo ya Uzazi wa Mpango Zanzibar

 
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Swaleh Omar Kabi akitoa hotuba ya Ufungaji wa Mafunzo ya Siku Tatu ya Uzazi wa Mpango na Salama kwa Mama na Matoto  yaliowashirikisha Maimamu,Makhtibu wa Miskiti ya Ijumaa na Walimu wa Vyuo vya Kur-ani hafla iliofanyika  atika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini Mjini Unguja.
Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana Sheikh Abdalla Twalib akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni Rasmi katika Hafla ya Ufungaji wa mafunzo ya siku Tatu  Uzazi wa Mpango na Salama kwa Mama na Matoto yaliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini Mjini Unguja.
Baadhi ya Washiriki katika Mafunzo ya siku Tatu ya Uzazi wa Mpango na Salama kwa Mama na Matoto yaliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini Mjini Unguja.
Picha na Yussuf Simai - Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.