Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Amwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Magufuli Kwenye Mazishi ya Kaka wa Mama Maria Nyerere Musoma.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Makongoro Nyerere, kwenye msiba wa Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mtoto wa Baba wa Taifa, Mdaraka Nyerere, kwenye msiba wa Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimpa mkono wa pole Mama Maria Nyerere, kwenye msiba wa Kaka yake, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Mama Maria Nyerere, kwenye mazishi ya Kaka yake, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiweka udongo, kwenye kaburi la Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na Mkewe Mary, wakiweka mashada ya maua, kwenye kaburi la Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na Mkewe Mary (kushoto), wakizungumza na Mama Maria Nyerere, baada ya mazishi ya Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na Mkewe Mary (kulia), wakimpa pole, Mjane wa Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, ambaye ni Kaka wa Mama Maria Nyerere, baada ya mazishi, Desemba 7, 2019.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.