Habari za Punde



Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki Mhe. Danieli Mtuka aliyenyanyua mikono akitoa ufafanuzi kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Ndg.Philipo Japhet Mangula (mwenyemiwani) wakati wa ziara yake alipotembelea kwenye mradi mkubwa wa shamba la pamoja la Korosho lenye zaidi ya ekari 12000 eneo la Masagati Manyoni Mkoani Singida leo kulia kwa Mangula ni Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Ndg.Rahabu Jackson Mwagisa.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philipo Japhet Mangula akikagua Mkorosho kwenye mradi mkubwa wa shamba la pamoja la Korosho lenye zaidi ya ekari 12000 eneo la Masagati Manyoni Mkoani Singida leo alipokuwa kwenye ziara ya kikazi ya siku saba katika Mkoa wa Singida(Pichana John Mapepele.
Makamu Mwenyekitiwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania  Bara, Philipo Japhet Mangula akikata keki maalum ya miaka 43 ya Chama Cha Mapinduzi katika kikao cha tathmini na majumuisho ya ziara yake ya kikazi ya siku saba mkoani Singida kwenye ukumbi wa maktaba wilayani Manyoni leo kulia ni Mwenyekitiwa CCM Mkoa wa Singida Alhaji Juma kilimba kushoto ni Mwenyekitiwa CCM Wilaya ya Manyoni Jumanne Mahanda anayefuata Katibu wa CCM Mkoa wa Singida AlexndrinaKatabi   
Umati wa wanachama wa CCM  uliohudhuria mkutano wa Makamu Mwenyekitiwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philipo Japhet Mangula
(Pichana John Mapepele)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.