RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergomena Lawrence
Tax, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Madinat Al Bahr,mbweni Jijini
Zanzibar (katikati) Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar.Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, kuhudhuria ufunguzi wa Mkutano wa
kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi
Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), (kulia) Waziri wa
Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu.Mhe.Jenista Mhagama.(
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa meza kuu, (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili
wa Rais wa Zanzibar.Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Unguja. Mhe. Hassan Khatib Hassan na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,Bunge,Kazi,Vijana, Ajira na Walemavu. Mhe. Jenista
Mhagama na Katibu Mtendaji wa (SADC) Dkt.Stergomena Lawrence Tax, wakiwa
wamesimama wakati ukipingwa wimbo wa Taifa na wa SADC, wakati wa hafla ya ufunguzi
wa Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye Dhamana na Menejimenti ya
Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika,
uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Madinat Al Bahr mbweni Jijini Zanzibar
BAADHI ya Mawaziri wa Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa ya (SADC )
wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa na wa Sadc wakati wa hafla ya
ufunguzi wa mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye Dhamana ya
Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
Afrika, uliofanyika Jijini Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr
Mbweni.
Mawaziri wa Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa ya (SADC )
wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa na wa Sadc wakati wa hafla ya
ufunguzi wa mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye Dhamana ya
Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
Afrika, uliofanyika Jijini Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr
Mbweni.
Baadhi ya Mawaziri wa SMT na SMZ wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa na wa Sadc wakati wa hafla ya
ufunguzi wa mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye Dhamana ya
Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
Afrika, uliofanyika Jijini Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr
Mbweni.
KATIBU Mtendaji wa SADC.Dkt. Stergomena Lawrence Tax, akizungumza
wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye
Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Afrika uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni
Jijini Zanzibar
MAWAZIRI Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa Hoteli ya Madinat Al Bahr wakihudhuria ufunguzi wa mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri wa Wenye Dhamana ya Menejimenti ya
Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni
Jijini Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na
Walemavu.Mhe.Jenista Mhagama, akizungumza wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi wa
Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa
kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika.(SADC) uliofanyika
katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar
BAADHI ya Mawaziri wa SMT na SMZ wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa
Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya ya Mawaziri Wenye Dhamana ya Menejimenti ya
Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, wakati wa
ufunguzi huo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akihutubia (hayupo pichani) mkutano huo umefanyika leo
21-2-2020, katika ukumbi waHoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akihutubia na kuufungua Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri
Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
Maendeleo Kusini mwa Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al
Bahr Mbweni Jijini Zanzibar
BAADHI ya Mawaziri wa SMT na SMZ wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa
Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya ya Mawaziri Wenye Dhamana ya Menejimenti ya
Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, wakati wa
ufunguzi huo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akihutubia (hayupo pichani) mkutano huo umefanyika leo
21-2-2020, katika ukumbi waHoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akihutubia na kuufungua Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri
Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
Maendeleo Kusini mwa Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al
Bahr Mbweni Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Mawaziri Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa Kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia na kuufungua mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Mawaziri wa SMT na SMZ wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya ya Mawaziri Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, wakati wa ufunguzi huo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia (hayupo pichani) mkutano huo umefanyika leo 21-2-2020, katika ukumbi waHoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Wajumbe wa Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye
Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Afrika (SADC) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia na kuufungua mkutano huo
uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Wajumbe wa Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye
Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Afrika (SADC) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia na kuufungua mkutano huo
uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akihutubia na kuufungua Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar ,(kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe, Hassan Khatib Hassan, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,Bunge,Kazi,Vijana, Ajira na Walemavu. Mhe. Jenista
Mhagama na Katibu Mtendaji wa (SADC) Dkt.Stergomena Lawrence Tax.
BAADHI ya Wajumbe wa Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri Wenye
Dhamana ya Menejimenti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Afrika (SADC) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia na kuufungua mkutano huo
uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa meza kuu na Mawaziri
Wenye Dhamana ya Menejiminti ya Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) baada
ya ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr
Mbweni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akiondoka katika ukumbi wa mkutano wa hoteli ya Madinat Al Bahr
mbweni Jijini Zanzibar, baada ya kuufungua mkutano huo, (kulia kwa Rais) Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge,Kazi , Vijana, Ajira na Walemavu Mhe.
Jenista Mhagama na (kushoto kwa Rais) Katibu Mtendaji SADC.Dkt. Stergomena
Lawrence Tax
No comments:
Post a Comment