Mwanamuziki anayekuja juu kwa kasi Zuhra Kopa maarufu kama ZUCHU akitumbuiza kwa mara ya kwanza mbele ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa sherehe za uzinduzi wa mradi mkubwa wa Maji wa Kibamba-Kisarawe mjini Kisarawe mkoa wa Pwani leo Jumapilio Juni 28, 2018. Zuchu anayetamba na kibao chake cha hamasa cha CCM ya MAGUFULI ni binti wa Malkia wa Mipasho Bi. Khadija Omar Kopa
Dkt. Mwinyi Aagiza Elimu ya Branding Kuwafikia Watanzania Wote
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ali
Mwinyi, amesema kuwa katika kipindi hiki cha mabadiliko, Serikali
inaendelea kufany...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment