Mwanamuziki anayekuja juu kwa kasi Zuhra Kopa maarufu kama ZUCHU akitumbuiza kwa mara ya kwanza mbele ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa sherehe za uzinduzi wa mradi mkubwa wa Maji wa Kibamba-Kisarawe mjini Kisarawe mkoa wa Pwani leo Jumapilio Juni 28, 2018. Zuchu anayetamba na kibao chake cha hamasa cha CCM ya MAGUFULI ni binti wa Malkia wa Mipasho Bi. Khadija Omar Kopa
MTO UMBA KUFUNGUA MILANGO YA UTALII JIJINI TANGA .
-
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa kushirikiana na Uongozi
wa Mkoa wa Tanga na Wilaya ya Mkinga umezindua rasmi na kuendesha zoezi la
u...
39 minutes ago



0 Comments