Mwanamuziki anayekuja juu kwa kasi Zuhra Kopa maarufu kama ZUCHU akitumbuiza kwa mara ya kwanza mbele ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa sherehe za uzinduzi wa mradi mkubwa wa Maji wa Kibamba-Kisarawe mjini Kisarawe mkoa wa Pwani leo Jumapilio Juni 28, 2018. Zuchu anayetamba na kibao chake cha hamasa cha CCM ya MAGUFULI ni binti wa Malkia wa Mipasho Bi. Khadija Omar Kopa
DKT POSSI AHIMIZA UWAJIBIKAJI BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Ali Possi akiwasilisha hotuba
ya ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la TCAA linalofanyika
Morogoro
...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment