Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiweka udongo kwenye
kaburi la Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa katika
Mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Lupaso Masasi Mkoani Mtwara.
Wanajeshi wa JWTZ
wakiwa wamebeba Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu
Benjamin William Mkapa kuelekea eneo la Makaburi kwa ajili ya Mazishi
yaliyofanyika katika Kijiji cha Lupaso Masasi Mkoani Mtwara
Wanajeshi wa JWTZ
wakiwa wamebeba Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu
Benjamin William Mkapa kuelekea eneo la Makaburi kwa ajili ya Mazishi
yaliyofanyika katika Kijiji cha Lupaso Masasi Mkoani Mtwara
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
Viongozi mbalimbali pamoja Wananchi wa Lupaso waliohudhuria katika Mazishi hayo
ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa Lupaso Masasi
mkoani Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
Viongozi mbalimbali pamoja Wananchi wa Lupaso waliohudhuria katika Mazishi hayo
ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa Lupaso Masasi
mkoani Mtwara.
Mabregedia Jenerali wa
JWTZ wakipiga saluti kutoa heshima za mwisho kwa Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu
Benjamin William Mkapa kabla ya kushushwa kaburini Lupaso Masasi mkoani Mtwara.
Mabregedia Jenerali wa
JWTZ wakishuhudia Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu
Benjamin William Mkapa likishushwa kaburini Lupaso Masasi mkoani Mtwara.
Rais Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli akishuhudia Mjane wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu
Benjamin William Mkapa Mama Anna Mkapa akiweka udongo kwenye kaburi la Rais
Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa katika Mazishi
yaliyofanyika katika Kijiji cha Lupaso Masasi Mkoani Mtwara. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment