Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa pamoja na Mgombea Mwenza Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan
wakipokea Seti moja ya Fomu ya Uteuzi 8A, Fomu namba 10 pamoja na Picha za
Wagombea kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Jaji Mstaafu
Semistocles Kaijage katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akitoa Fomu zake na kuzihakiki mara baada ya kuwasili katika Ofisi za
Makao Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akitoa Fomu zake na kuzihakiki mara baada ya kuwasili katika Ofisi za
Makao Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akirudisha
Fomu ya Kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia
Tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020 kwa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage
katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma 25
Agosti, 2020.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa
ya Uchaguzi NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage pamoja na Mkurugenzi wa NEC
Dkt. Wilson Charles wakihakiki Fomu za Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha
Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama
cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufulikatika Ofisi za Makao
Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akiangalia Mgombea Mwenza Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati
akisaini Fomu katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa na Mgombea Mwenza Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan
wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Jaji Mstaafu
Semistocles Kaijage katika Ofisi za Makao Makuu ya NEC Njedengwa jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji
Mstaafu Semistocles Kaijage (aliyesimama) akitangaza kumteua Mgombea wa kiti
cha (Urais) Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza, Makamu wa Rais
Samia Suluhu Hassan baada ya kurejesha fomu za uteuzi kwenye ofisi za Tume
zilizopo Njedengwa jijini Dodoma.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment