Habari za Punde

Ufunguzi wa Kongamano la Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Pemba.

 MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla (katikati), akulia ni Katibu Tawala Mkoa huo Abdalla Rashid Abdalla na kushoto ni Afisa Mdhamini Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba Fatma Hamad Rajab, wakiimba wimbo maalumu wa Taifa, kabla ya kufungua kongamano la vijana wa mikoa iwili ya Pemba, lililofanyika huko Mabaoni Wilaya ya Chake Chake.
AFISA Mdhamini Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba Fatma Hamad Rajab, akiwasilisha mada wakati wa kongamano la Vijana wa Mikoa miwili ya Pemba, lililofanyika Mabaoni nje kidogo ya Mji wa Chake Chake.
 MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akifungua kongamano la Vijana wa Mikoa miwili ya Pemba, huko Mabaoni nje kidogo ya Mji wa Chake Chake

BAADHI ya Vijana wa Mikoa miwili ya Pemba, wakinyoosha mikono juu kuashiria kuwa wapo tayari kumchagua Mgombea urais wa Zanzibar Kupitia chama cha Mapinduzi Zanzibar DK.Husein Ali Mwinyi, wakati wakongamano la Vijana lililofanyika Mabaoni nje ya kidogo ya Mji wa Chake Chake.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.