MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Zanzibar, Rais Mstaaf wa Awamu
ya Saba Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na
(kulia kwake ) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.
Hussein Mwinyi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe Balozi Seif Ali Iddi
na (kushoto ) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla Juma Mabodi wakiwa
wamesimama walipowasili katika ukumbi wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri
Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
WAJUMBE
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa wamesimama wakati wa kuingia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa mkutano wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais Mstaaf wa Awamu ya Saba MheDk. Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) kilichofanyika katika
ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar
NAIBU
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla Juma Mabodi akizungumza wakati wa Kikao
cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika katika
ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar na Rais Mstaaf wa Awamu ya Saba
Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akifungua Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu
ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCK Kisiwandui
Jijini Zanzibar na (kulia) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Balozi Seif Ali Iddi.
WAJUMBE
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakipitia makamrasha yao kabla
ya kuaza kwa Kikao hicho kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na
Rais Mstaaf wa Awamu ya Saba Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kilichofanyika katika
ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar
WAJUMBE
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakipitia makamrasha yao kabla
ya kuaza kwa Kikao hicho kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na
Rais Mstaaf wa Awamu ya Saba Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kilichofanyika katika
ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment