RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na Naibu Kamishna TRA Zanzibar, Ndg. Mcha Hassan Mcha na Meneja
Idara ya Forodha Zanzibar Ndg.Ali Bakari Ame, wakati wa ziara yake kutembelea
eneo la kuhifadhia mizigo la Shirika la Bandari Zanzibar Saateni Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais)
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar Ndg. Khamis Mussa na Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Ndg, Shomar
Omar Shomar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akiwa katika ziara yake kutembelea eneo lililojengwa Ghala la kuhifadhia
mizingo na Makonteni Saateni Jijini
Zanzibar leo 4/11/2020, akiwa na Uongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar na wa TRA Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati wa ziara yale leo 4/11/2020 akizungumza na
Uongozi wa Shirika la Bandari Zanzibar alipotembelea eneo lililojengwa ghala la kuhifadhia
mizigo na makontena la Shirika la Bandari Zanzibar eneo la Saateni Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini
Unguja.
No comments:
Post a Comment