Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama wakati ukipingwa wimbo wa Taifa kabla ya kuaza kwa hafla ya kuapishwa Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika viwanja vya Ikulu leo 21/11/2020.
RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Afisi ya Rais,Katiba Sheria, Utumishi na Utawala Bora
Mhe. Haroun Ali Suleiman akila kiapo katika hafla ya kuapishwa iliofanyika leo
katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar. (katikati) Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Afisi ya Rais Fedha na Mipango Mhe. Jamali Kassim Ali,
hafla hiyo ya kuapisha imefanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo
21/11/2020. (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi
Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Afisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za
SMZ.,Mhe. Masoud Ali Mohammed, halya hiyo ya kuapishwa imefanyika katika
viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 21/11/2020. (katikati) Katibu wa Baraza
la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri Afisi ya Rais Uchumi na Uwekezaji Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga, hafla hiyo imefanyika katika viwanja
vya Ikulu Jijini Zanzibar. (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu
Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Khalid
Salum Mohammed, wakati wa hafla ya kuapishwa iliofanyika katika viwanja vya Ikulu
Jijini Zanzibar leo 21/11/2020. (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na
Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,
akimuapisha Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe. Riziki Pembe Juma,
hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar. (katikati)
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya
Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Simai Mohammed Said,
wakati wa hafla ya kuapishwa iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini
Zanzibar leo 21/11/2020. (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu
Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuap[isha Waziri wa Habari Vijana
Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Mwita Maulid akiapishwa katika hafla hiyo
iliofanyika katika viwanja vya Ikulu
Jijini Zanzibar. (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Mhe. Dkt. Soud
Nahoda Hassan, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Z(katikati) Katibu
wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Maji na Nishati Mhe.Suleiman Masoud Makame, hafla hiyo
imefanyika katika viwanja vya Ikulu
Jijini Zanzibar. (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Waziri wa Uchumi wa Buluu na
Uvuvi Mhe.Abdalla Hussein Kombo, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika katika
viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 21/11/2020. (katikati) Katibu wa Baraza
la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Mhe. Rahma Kassim Ali,
hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar. (katikati)
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya
Mzee.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mhe. Lela Mohammed Mussa, wakati
wa hafla hiyo ya kuapishwa iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
na (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.
Abdulhamid Yahya Mzee.
No comments:
Post a Comment