AFISA Mdhamini Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba Fatma Hamad Rajab, akimkabidhi mipira, Stockings (Soksi) na seti moja ya Jezi kepteni wa timu ya Hard Rock Emmanuel Balele, ambayo ni timu pekee inayoshiriki ligi kuu ya Zanzibar kutoka Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
Mfumo Mpya wa Kodi Kuleta Mapinduzi Makubwa ya Ukusanyaji wa Mapato Nchini.
-
Na Mwandishi Wetu
Hatua kubwa ya mageuzi ya kodi nchini imefikiwa kufuatia tangazo la kuanza
kutumika kwa mfumo mpya wa ukusanyaji wa kodi za ndani, hatua...
5 hours ago
0 Comments