AFISA Mdhamini Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba Fatma Hamad Rajab, akimkabidhi mipira, Stockings (Soksi) na seti moja ya Jezi kepteni wa timu ya Hard Rock Emmanuel Balele, ambayo ni timu pekee inayoshiriki ligi kuu ya Zanzibar kutoka Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
Utalii : Ngorongoro ni Kapu Lililobeba Matunda Matamu, Sasa Tunayauza.
-
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania Ephraim Balozi Mafuru kwa niaba ya
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii ameongoza timu ya wizara hiyo
kwenye ...
3 hours ago
0 Comments