AFISA Mdhamini Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba Fatma Hamad Rajab, akimkabidhi mipira, Stockings (Soksi) na seti moja ya Jezi kepteni wa timu ya Hard Rock Emmanuel Balele, ambayo ni timu pekee inayoshiriki ligi kuu ya Zanzibar kutoka Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment