AFISA Mdhamini Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba Fatma Hamad Rajab, akimkabidhi mipira, Stockings (Soksi) na seti moja ya Jezi kepteni wa timu ya Hard Rock Emmanuel Balele, ambayo ni timu pekee inayoshiriki ligi kuu ya Zanzibar kutoka Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment