Habari za Punde

ZAECA yabaini upotevu wa Sh Bilioni 3 ujenzi wa Jumba la treni


 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi   (ZAECA) imesema imebaini kupotea kwa takriban shilingi Bilioni tatu zilizodaiwa kutumika katika mradi wa Ujenzi wa Jumba la Treni


Ubadhirifu huo unaambatanisha pia kuwepo kwa manunuzi ambayo hayajafata taratibu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.