Habari za Punde

Mchezaji wa Timu ya Namungo Erick Kweziora Aibuka Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Kati ya Jamuhuri na Namungo Uliofanyika Uwanja wa Amaan.

Meneja Uhusiano Shirika la Bila la Taifa Tanzania NIC Ndg. Karimu Meshack akimkabidhi  zawadi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Erick Kwizera baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo kati ya Namungo na Jamuhuri uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa ZFF Ndg. Salum Ubwa akimpongeza Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Erick Kwizera baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo kati ya Jamuhuri na Namungo uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar. Shirika la Bima la Taifa Tanzania linawazawadia Wachezaji Bora wa Michezo ya Kombe la Mapinduzi Cup. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.