RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Bi.Fatma Karume, wakati alipofika nyumbani kwake Maisara kwa mazungumzo na kumjulia hali yake.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na aliyekuwa Mshauri wa Rais wa Zanzibar Mzee Abdalla Rashid Abdaala, alipofika nyumbani kwake Kiembesamaki kumjulia hali yake na kuzungumza naye.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment