Habari za Punde

MBUNGE wa Jimbo la Mkoani Kisiwani Pemba achangia ujenzi wa mabanda skuli za Mkanyageni na Michenzani

MBUNGE wa Jimbo la Mkoani Kisiwani Pemba Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani)jinsi gani banda jipya lenye vumba vitatu vya skuli ya Msingi Mkanyageni sehemu litakapojengwa, baada ya kukabidhi vifaa kwa ajili ya skuli hiyo pamoja na skuli ya Michenzani vikiwa na thamani ya Milioni 31.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

MBUNGE wa Jimbo la Mkoani Kisiwani Pemba Profesa Makame Mnyaa Mbarawa (kulia), akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Michenzaji Msingi Suleiman Ali Khamis, baadhi ya Mifuko ya saruji na Nondo kwa ajili ya ujenzi wa banda lenye vyumba vinne vya kusomea wanafunzi, ujenzi huo ukienda sambamba na skuli ya Mkanyageni ujenzi unatarajiwa kugharimu Milioni 31.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

MBUNGE wa Jimbo la Mkoani Kisiwani Pemba Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari, juu ya ujenzi wa banda la vyumba vitatu skuli ya Mkanyangeni na Banda la Vyumba vinne skuli ya msingi Michenzani ujenzi wa manda yote unatarajiwa kugharimu Milioni 31.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.