Naibu Spika Baraza la Wawakilishi Mhe Mgeni Hassan Juma akimkabidhi cheti ndugu Asya Mohammed Othman kutoka kikundi cha Wireless services group kuashiria kuhitimisha masomo ya uhifadhi wa huduma za vyakukla na vinywaji.
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Mgeni Hassan Juma akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa zawadi ya Mlango wa Zanzibar uliotolewa na kikundi cha Wireless Service Group katika sherehe ya kutimiza miaka mitano tangu kuanzishwa kwake.
WENJE OKTOBA ANA TIKI KWA DK SAMIA,AREJEA CCM NA KUTOA KAULI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Chato
EZEKIA Wenje Oktoba 29 naye anatiki kwa Dk.Samia Suluhu Hassan ! Hivyo
ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya leo Oktoba...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment