Naibu Spika Baraza la Wawakilishi Mhe Mgeni Hassan Juma akimkabidhi cheti ndugu Asya Mohammed Othman kutoka kikundi cha Wireless services group kuashiria kuhitimisha masomo ya uhifadhi wa huduma za vyakukla na vinywaji.
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Mgeni Hassan Juma akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa zawadi ya Mlango wa Zanzibar uliotolewa na kikundi cha Wireless Service Group katika sherehe ya kutimiza miaka mitano tangu kuanzishwa kwake.
UJENZI WA JENGO LA KITUO CHA MAFUNZO YA KUONGEZA THAMANI MADINI YA VITO
WAANZA JIJINI ARUSHA
-
■ Ni mkakati wa kuhakikisha madini vito yanaongezewa thamani nchini.
■Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais.Dkt. Samia katika kuendeleza mnyororo
wa madi...
13 minutes ago
0 Comments