Naibu Spika Baraza la Wawakilishi Mhe Mgeni Hassan Juma akimkabidhi cheti ndugu Asya Mohammed Othman kutoka kikundi cha Wireless services group kuashiria kuhitimisha masomo ya uhifadhi wa huduma za vyakukla na vinywaji.
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Mgeni Hassan Juma akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa zawadi ya Mlango wa Zanzibar uliotolewa na kikundi cha Wireless Service Group katika sherehe ya kutimiza miaka mitano tangu kuanzishwa kwake.
Mpina, Fatma Wateuliwa Rasmi Kugombea Urais Kupitia ACT-Wazalendo
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Mahakama ya
Rufaa Jacobs Mwambegele, amewakabidhi fomu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment