Naibu Spika Baraza la Wawakilishi Mhe Mgeni Hassan Juma akimkabidhi cheti ndugu Asya Mohammed Othman kutoka kikundi cha Wireless services group kuashiria kuhitimisha masomo ya uhifadhi wa huduma za vyakukla na vinywaji.
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Mgeni Hassan Juma akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa zawadi ya Mlango wa Zanzibar uliotolewa na kikundi cha Wireless Service Group katika sherehe ya kutimiza miaka mitano tangu kuanzishwa kwake.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment