RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na Uongozi wa Wizara ya Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar, wakati wa kuripoti taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Rais aliyoyatoa wakati wa kuwaapisha Mawaziri na Makatibu Wakuu, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar Mhe.Dkt.Soud Nahoda Hassan, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
BAADHI Wakuu wa Idara za Wizara ya Kilimo,Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar, wakifuatilia mkutano wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Rais aliyoyatoa wakati wa kuwaapisha Mawaziri na Makatibu Wakuu katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Zanzibar Dkt.Kassim Gharib akitowa ufafanuzi wakati wa mkutano wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Rais aliyoyatowa wakati wa kuwaapisha Mawaziri na Makatibu Wakuu katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment