BAADHI ya wafanyakazi wa Shirika la Umeme Zanzibar
ZECO Tawi la Pemba na wananchi wa shehia ya Mgelema Wilaya ya Chake Chake,
wakikata mti wa mzambarau ambao matawi yake yameangukia katika laini kubwa ya
Umeme, mti ambao ulidaiwa kutiwa moto na watu wasiofahamika na kusababisha
wananchi kukosa huduma hiyo.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Zanzibar Tawi la
Pemba, wakishirikiana na wananchi wa shehia ya Mgelema Wilaya ya Chake Chake,
wakiwa katika harakati za kuwachia waya wa laini kubwa ya umeme, baada ya mti
ulioangukiwa waya huo kuondolewa ili waweze kurudisha huduma ya umeme katika
shehia hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
No comments:
Post a Comment