Habari za Punde

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Jinsia , wazee na Watoto akabidhiwa Ripoti ya WHO juu ya maradhi ya mripuko

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Jinsia , wazee na Watoto Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui akimsikiliza Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni (W.H.O) Zanzibar Dr. Andemichael Ghirmay alipofika ofisini kwake kumkabidhi ripoti  ya kazi kwa kipindi cha miaka mitano juu ya maradhi ya mripuko ikiwemo Kipindupidu na Korona 

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Jinsia , wazee na Watoto Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui akipokea  ripoti ya kazi kwa kipindi cha miaka mitano juu ya maradhi ya mripuko ikiwemo Kipindupidu na Korona kutoka kwa Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni (W.H.O) Zanzibar Dr. Andemichael Ghirmay, makabdhiano hayo yalifanyika Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Unguja.

Picha na Talib Ussi


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.