Taswira mbalimbnali za Maelfu ya wananchi wa Zanzibar wakiwa wamejipanga barabarani wakati mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ulipokuwa unapelekwa Hiospitali ya Jeshi katika kitongoji cha Bububu baada ya kuagwa na maelfu kwa maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Amaan wakiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne Machi 23, 2021
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment