Taswira mbalimbnali za Maelfu ya wananchi wa Zanzibar wakiwa wamejipanga barabarani wakati mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ulipokuwa unapelekwa Hiospitali ya Jeshi katika kitongoji cha Bububu baada ya kuagwa na maelfu kwa maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Amaan wakiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne Machi 23, 2021
Malawi Kuongeza Ushirikiano wa Kimatibabu na Hospitali ya Benjamin Mkapa.
-
Waziri wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Jamhuri ya Malawi Madalitso
Baloyi, amesema serikali ya nchi yake inaangalia uwezekano wa kupunguza
gharama za m...
10 minutes ago






0 Comments