Taswira mbalimbnali za Maelfu ya wananchi wa Zanzibar wakiwa wamejipanga barabarani wakati mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ulipokuwa unapelekwa Hiospitali ya Jeshi katika kitongoji cha Bububu baada ya kuagwa na maelfu kwa maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Amaan wakiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne Machi 23, 2021
TIB, UNDP Waingia Ubia wa Kimkakati Kukuza Uchumi Jumuishi na Endelevu
-
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Maendeleo (TIB), Deogratius Kwiyukwa na Mwakilishi
Mkazi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nch...
14 minutes ago






0 Comments