Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi Ajumuika na Wafanyakazi wa Ofi Yake Katika Sala ya Adhuhuri.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Ust Idrissa Matulubu, baada ya kumaliza kwa Sala ya Adhuhuri  ambapo alijumuika na Wafanyakazi wa Ofisi yake katika Msikiti ulioko eneo la Ikulu Jijini  Zanzibar.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.