RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Ust Idrissa Matulubu,
baada ya kumaliza kwa Sala ya Adhuhuri ambapo alijumuika na Wafanyakazi wa Ofisi yake
katika Msikiti ulioko eneo la Ikulu Jijini
Zanzibar.
ILANI YA CCM UCHAGUZI MKUU UJAO ITAKUWA NA MAJIBU YA CHANGAMOTO ZA
VIJANA-WASIRA
-
Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema
kuwa Chama kinafahamu changamoto ambazo vijana ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment