RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Ust Idrissa Matulubu,
baada ya kumaliza kwa Sala ya Adhuhuri ambapo alijumuika na Wafanyakazi wa Ofisi yake
katika Msikiti ulioko eneo la Ikulu Jijini
Zanzibar.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment