RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Ust Idrissa Matulubu,
baada ya kumaliza kwa Sala ya Adhuhuri ambapo alijumuika na Wafanyakazi wa Ofisi yake
katika Msikiti ulioko eneo la Ikulu Jijini
Zanzibar.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment