Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana
na Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya
Nairobi nchini Kenya. leo tarehe 04 Aprili, 2021.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa
amesimama pamoja na Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta wakati wa nyimbo za
Mataifa Mawili ya Tanzania na Kenya zikipigwa mara baada ya kuwasili katika
Ikulu ya Nairobi nchini Kenya
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisaini
Kitabu cha Wageni Mara baada ya Kuwasili katika Ikulu ya Nairobi nchini Kenya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta mara baada ya mazungumzo yao katika Ikulu ya Nairobi nchini Kenya.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment