MWANANCHI wa Maziwang’ombe Bw. Mbwana Haji akizungumza na kutoa kero yake kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ziara yake katika eneo la Uwekezaji Micheweni Pemba.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar.Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga, akitowa maelezo ya Eneo la Uwekezaji Micheweni Pemba wakati wa ziara yake katika Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, ilioanza leo 31-8-2021.(Picha na Ikulu)
RAIS MWINYI: SMZ KUJENGA HOSPITALI MBILI KUBWA ZA RUFAA ZANZIBAR
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.
Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
inakusudia kuj...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment