MWANANCHI wa Maziwang’ombe Bw. Mbwana Haji akizungumza na kutoa kero yake kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ziara yake katika eneo la Uwekezaji Micheweni Pemba.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar.Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga, akitowa maelezo ya Eneo la Uwekezaji Micheweni Pemba wakati wa ziara yake katika Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, ilioanza leo 31-8-2021.(Picha na Ikulu)
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment