AFISA Mdhamini Wizara ya Biashara na Maendeleo ya
Viwanda Pemba, Ali Suleiman Abeid (KUSHOTO), akimuonyesha karafuu gredi ya tatu
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT Gabriel J.Migire(kulia), wakati
wajumbe kutoka wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT walipofanya ziara Kisiwani
Pemba hivi karibuni.
AFISA Mdhamini Wizara ya Biashara na Maendeleo ya
Viwanda Pemba, Ali Suleiman Abeid (KUSHOTO), akitoa maelezo juu ya zao la
karafuu kwa Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT Gabriel J.Migire(kulia),
wakati wajumbe kutoka wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT walipofanya ziara
Kisiwani Pemba hivi karibuni.
(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment