Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Pemba Ndg.Hamad Mussa Msafiri (kushoto), akiwakabidhi shilingi Milioni tatu(3,000,000/=) Wanakikundi cha Umoja ni Nguvu cha Mvumoni Chake Chake Pemba, ikiwa ni Bima ya mkono wa Pole kwa vikundi, inayotolewa na benki ya NBM baada ya mmoja ya Mwanakikundi hicho kufariki dunia.
WAWEKEZAJI WA CHINA, UWT WAJADILI KUHUSU NISHATI SAFI
-
Na MWANDISHI WETU
WAWEKEZAJI kutoka China wamekutana na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na
kujadiliana kuhusu uwekezaji hususan katika uzalishaji wa Nis...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment