Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Pemba Ndg.Hamad Mussa Msafiri (kushoto), akiwakabidhi shilingi Milioni tatu(3,000,000/=) Wanakikundi cha Umoja ni Nguvu cha Mvumoni Chake Chake Pemba, ikiwa ni Bima ya mkono wa Pole kwa vikundi, inayotolewa na benki ya NBM baada ya mmoja ya Mwanakikundi hicho kufariki dunia.
WAHARIRI WATEMBELEA MRADI WA REA USAMBAZAJI WA UMEME VITONGOJI SITA
WILAYANI LUDEWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetembelea mradi wa kusambaza umeme
katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa...
44 minutes ago
0 Comments