Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Pemba Ndg.Hamad Mussa Msafiri (kushoto), akiwakabidhi shilingi Milioni tatu(3,000,000/=) Wanakikundi cha Umoja ni Nguvu cha Mvumoni Chake Chake Pemba, ikiwa ni Bima ya mkono wa Pole kwa vikundi, inayotolewa na benki ya NBM baada ya mmoja ya Mwanakikundi hicho kufariki dunia.
Wamiliki wa Seattle Sounders Kumuunga Mkono Rais Samia Suluhu Kuinua Sanaa, Michezo
-
Na Mwandishi Wetu, Seattle, USA
Kampuni kubwa ya Kimtaifa ya Vulcan Inc. kupitia kampuni yake tanzu ya
Vulcan Arts and Intertainment iliyoasisiwa na mmoja ...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment