Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Pemba Ndg.Hamad Mussa Msafiri (kushoto), akiwakabidhi shilingi Milioni tatu(3,000,000/=) Wanakikundi cha Umoja ni Nguvu cha Mvumoni Chake Chake Pemba, ikiwa ni Bima ya mkono wa Pole kwa vikundi, inayotolewa na benki ya NBM baada ya mmoja ya Mwanakikundi hicho kufariki dunia.
VISION VIKOBA WAADHIMISHA MIAKA 10 YA MAFANIKIO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KIKUNDI cha Vision Vikoba ambacho ni kikundi mama cha vikundi 13)
kimeadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, ambapo msh...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment