Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri
wanaoshiriki Mkutano wa Tisa wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Usimamizi
Endelevu wa Ziwa Tanganyika mara baada ya kufungua mkutano huo unaofanyika
katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya
lake Tanganyika mkoani Kigoma. Desemba 16,2021. ( kutoka kushoto kwa Makamu wa
Rais ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Hamad
Chande, Waziri wa Uchumi wa Kijani na Mazingira kutoka Zambia Mhe. Collins Nzovu, Waziri wa Mazingira ,
Kilimo na Mifugo kutoka Burundi Mhe. Deo-Guide
RUREMA na Waziri wa Uvuvi na Mifugo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo
Mhe. Adrien Bokele).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira wanaoshiriki mkutano wa Tisa wa Mawaziri wa Nchi wanachama wa Usimamizi Endelevu wa Ziwa Tanganyika mara baada ya kufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya lake Tanganyika mkoani Kigoma. Desemba 16,2021.
No comments:
Post a Comment