Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri wanaoshiriki Mkutano wa Tisa wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Usimamizi Endelevu wa Ziwa Tanganyika mara baada ya kufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya lake Tanganyika mkoani Kigoma. Desemba 16,2021. ( kutoka kushoto kwa Makamu wa Rais ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Hamad Chande, Waziri wa Uchumi wa Kijani na Mazingira kutoka Zambia Mhe. Collins Nzovu, Waziri wa Mazingira , Kilimo na Mifugo kutoka Burundi Mhe. Deo-Guide RUREMA na Waziri wa Uvuvi na Mifugo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo Mhe. Adrien Bokele).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira wanaoshiriki mkutano wa Tisa wa Mawaziri wa Nchi wanachama wa Usimamizi Endelevu wa Ziwa Tanganyika mara baada ya kufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya lake Tanganyika mkoani Kigoma. Desemba 16,2021.
No comments:
Post a Comment