Habari za Punde

Meli ya Watalii kutoka Ufaransa yawasili Mkoani kisiwani Pemba

MELI ya Kitalii LE BELLOT MATA UTU iliyobeba watalii 69, kutoka Nchini Ufaransa imewasili Kisiwani Pemba kwa ziara ya Siku moja ya kutembelea maeneo mbali mbali ya vivutio vya Utalii vilivyopo ndani kisiwa cha Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MELI ya Kitalii LE BELLOT MATA UTU iliyobeba watalii 69, kutoka Nchini Ufaransa imewasili Kisiwani Pemba kwa ziara ya Siku moja ya kutembelea maeneo mbali mbali ya vivutio vya Utalii vilivyopo ndani kisiwa cha Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MDHAMINI wa Kamisheni ya Utalii Pemba Hamad Amini Ali, akizungumza na waandishi wa habari Kutoka vyombo mbali mbali vya habari, juu ya ujio wa watalii kuutoka 69 kutoka Nchini Ufaransa kwa ziara ya siku moja ya kutembelea maeneo ya vivutio vya Utalii vilivyopo Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Wilaya ya Wete Khatib Juma Mjaja akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, mara baada ya kuwapokea watalii 69 kutoka Nchini Ufaransa kwa ziara ya siku moja ya kutembelea maeneo ya vivutio vya Utalii vilivyopo Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WATALII kutoka nchini Ufaransa wakishuka katika boti maalumu katika bandari ya Mkoani, kwa ajili ya kwa ziara ya siku moja ya kutembelea maeneo ya vivutio vya Utalii vilivyopo Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Wilaya ya Mkoani Khatib Juma Mjaja na afisa Mdhamini Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Pemba Zuhura Mgeni Othoman, katikati ni Afisa Utalii Salum wakiwapokea watalii kutoka nchini Ufaransa, mara baada ya kuwasili katika bandari ya Mkoani Kiswani Pemba kwa ziara ya siku moja ya kutembelea maeneo ya vivutio vya Utalii vilivyopo Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KIKUNDI cha Ngoma ya Mkota Ngoma Kutoka Wilaya ya Mkoani, wakitoa burudani ya ngoma kwa watalii 69 kutoka nchini Ufaransa waliowasili Kisiwani Pemba, kwa ziara ya siku moja ya kutembelea maeneo ya vivutio vya Utalii vilivyopo Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WATALII kutoka nchini Ufaransa wakiwa katika bandari ya Mkoani mara baada kuwasili ndani ya Kiswa cha Pemba, kwa ziara ya siku moja ya kutembelea maeneo ya vivutio vya Utalii vilivyopo Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

AFISA Mdhamini Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Pemba Zuhura Mgeni Juma, akicheza ngoma ya mkota ngoma na mmoja ya watalii waliowasili kutoka nchini Ufaransa, kwa ziara ya siku moja ya kutembelea maeneo ya vivutio vya Utalii vilivyopo Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.