MSAIDIZI katibu wa Mufti Pemba Shekhe Said Ahmad
Mohamed, akiwasilisha mada juu ya umuhimu wa amani kwa mtazamo wa Uislamu, kwa
wavuvi na wakulima wa mwani kutoka shehia 20 za Wilaya ya Wete, mafunzo hayo
yametolewa na Kituo cha Majadiliano kwa vijana Zanzibar (CYD), kwa kushirikiana
na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa Amani Mikani kwa ufadhili
wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa Maendeleo ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MRATIB wa Mradi wa Amani Mipakani kutoka CYD Ali
Shaaban, akielezea malengo ya mradi huo wakati wa mafunzo kwa wavuvi na
wakulima wa mwani kutoka shehia 20 za Wilaya ya Wete, mafunzo hayo yametolewa
na CYD, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa
Amani Mikani kwa ufadhili wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa
Maendeleo ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Majadiliano kwa
vijana Zanzibar CYD Hashim Pondeza, akizungumza wakati wa mafunzo kwa Wavuvi na
wakulima wa mwani kutoka shehia 20 za Wilaya ya Wete, mafunzo hayo yametolewa
na CYD, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa
Amani Mikani kwa ufadhili wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa Maendeleo
ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Wilaya ya Wete Hamad Omar Bakar, akifungua
mafunzo ya siku tatu kwa wavuvi na wakulima wa mwani kutoka shehia 20 za Wilaya
ya Wete, mafunzo hayo yametolewa na CYD, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa
Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa Amani Mikani kwa ufadhili wa Ubalozi wa
Canada Tanzania kutipia Mfuko wa Maendeleo ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Wilaya ya Wete Hamad Omar Bakar, akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wavuvi na wakulima wa mwani kutoka shehia 20 za Wilaya ya Wete, mafunzo hayo yametolewa na CYD, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa Amani Mikani kwa ufadhili wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa Maendeleo ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MWENYEKITI wa Kamati za wavuvi Wilaya ya Wete Mohamed
Kombo (Mwinyi Mpeku), akitoa neno la shukurani mara baada ya kumalizika kwa
mafunzo ya siku tatu yametolewa na Kituo cha Majadiliano kwa vijana Zanzibar
(CYD), kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Wete, chini ya mradi wa
Amani Mikani kwa ufadhili wa Ubalozi wa Canada Tanzania kutipia Mfuko wa
Maendeleo ya Kijamii (CFLI).(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment