Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, leo tarehe 26 Januari, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.
TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA JAPAN, IFAD.
-
Na. Saidina Msangi na Joseph Mahumi, WF, Dodoma.
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amekutana na kufanya
mazungumzo kwa nyakati tofauti...
11 minutes ago
0 Comments